Genesis 24:10

10 aNdipo huyo mtumishi akachukua ngamia kumi miongoni mwa ngamia za bwana wake, akaondoka, akiwa amechukua aina zote za vitu vizuri kutoka kwa bwana wake. Akaelekea Aramu-Naharaimu
Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
na kushika njia kwenda mji wa Nahori.
Copyright information for SwhKC